RAISI JACOB ZUMA AJIUZULU
BREAKING NEWS: RAISI JOCOB ZUMA AJIUZURLU
Leo February 14, 2018 Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya Urais kwa manufaa ya Chama chake cha ANC na Wananchi wa Afrika Kusini.
Zuma ametangaza hadharani kujiuzulu kupitia vyombo mbalimbali vya habari ambapo amesema asingependa damu imwagike na chama ANC kimeguke kwa sababu yake.
Leo February 14, 2018 Rais wa Afrika Kusini Jacob Zuma ametangaza rasmi kujiuzulu nafasi yake ya Urais kwa manufaa ya Chama chake cha ANC na Wananchi wa Afrika Kusini.
Zuma ametangaza hadharani kujiuzulu kupitia vyombo mbalimbali vya habari ambapo amesema asingependa damu imwagike na chama ANC kimeguke kwa sababu yake.

Comments
Post a Comment