Wazanzibari elfu 40 wafungua kesi kuhoji uhalili wa mungano
HABARI MPYA:Wazanzibari elfu 40 wafungua kesi mahakama ya haki ya Afrika mashariki(EACJ)wakihojo uhalali wa mungano wa Tanganyika na zanzibar.
Kesi hiyo imefunguliwa katika mahakama iliyoko Dar na Rashidi Adiy kwa niaba wenzake 39,999...NINI maoni yako.

Comments
Post a Comment